Alex Olaba: Aliyekuwa Mchezaji wa Raga Akamatwa Kufuatia Jaribio la Mauaji ya Shahidi
- Frank Wanyama na Alex Olaba walipata afueni baada ya mahakama kuamuru kuanza kusikiliwa upya kwa kesi ya ubakaji iliyowakabili
- Awali wawili hao walipatikana na hatia dhidi ya ubakaji wa zamu wa mwanamuziki ambapo walikuwa wanakodolea kifungo cha miaka 15 jela
- Waliachiliwa kwa dhamana ya KSh 300K
- Olaba hata hivyo alikamatwa tena Alhmaisi, Aprili 22 kwa jaribio la kupanga njama ya kumuangamiza shahidi mkuu katika kesi hiyo
[Read More]